video

TAZAMA MORRISON,WAWA WALIVYOZINGUANA, SAKHO NA MUGALU WANA PROGRAM

admin October 10, 2021 4:43 am


KIKOSI cha Simba kikiwa kwenye maandalizi ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy ya Botswana katika mazoezi ya Uwanja wa Boko wachezaji waliendelea kuwa na utani huku beki Pascal Wawa akionekana kuzinguana kimtindo na kiungo Jonas Mkude pamoja na Bernard Morrison.


 Wachezaji hao walikuwa katika mazoezi kisha wakaanza kupigana mikwara ya hapa na pale kisha maisha yakaendelea kama kawaida.
 
Kwa upande wa nyota Pape Sakho na Chris Mugalu hawa walikuwa wamepewa program yao peke yao kwa kupewa jukumu kwanza la kukimbia pamoja na mazoezi mengine ili waweze kuwa fiti. Simba inatarajiwa kumenyana na Jwaneng Galaxy Oktoba 17 na itaanzia ugenini.

 

DULLA MBABE APOTEZA KWA POINTI YANGA KUSHUKA UWANJANI LEO MBELE YA JKU SC

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply