Dakika 90 za Jasho zinakamilika kwa Simba kutolewa kwa Mikwaju ya penati 4-3 dhidi ya Orlando Pirates.
Licha ya kucheza kwa zaidi ya dakika 30 wakiwa Pungufu, baada ya Mshambuliaji wake Mugalu kuoneshwa kadi nyekundu.
Mkude, na Beki Henock Inonga walikosa penati kwa upande wa Simba na kufanya hitimisho la safari yao katika michuano ya CAF msimu huu.