Habari za michezo

RASMI….FIFA WAMTAJIRISHA MSUVA CHAP CHAP….WAARABU WAAMRIWA WAMLIPE BILIONI 1.6…ISHU NZIMA IKO HIVI….

admin July 12, 2022 2:30 am


Shirikisho la Soka Duniani FIFA limeiagiza Club ya soka ya Wydad Casablanca ya Morocco kumlipa Mchezaji Mtanzania Simon Msuva  zaidi ya dola za kimarekani laki saba (zaidi ya Tsh bilioni 1.6) baada ya mchezaji huyo kushinda kesi ya madai aliyoifungua  dhidi ya Club hiyo.

Msuva ambaye alikua amesaini mkataba wa miaka minne alilazimika kuusitisha mkataba wake December mwaka 202 kutokana na kuidai Club hiyo malimbikizo ya mishahara pamoja na pesa za usajili (signing fee).

Aidha, imeelezwa kuwa hukumu ya FIFA imeamuru Mchezaji huyu alipwe na riba pia.

KUELEKEA MSIMU UJAO…YANGA HAITANIII AISEE…MCONGO MWINGINE ASHUSHWA USIKU USIKU…AZIZ KI NAYE NDANI… ISHU YA KUMSHAMBULIA RAIS KARIA YAMSOTESHA MANARA TFF…AWEKWA MTU KATI….MASHAHIDI WAFUNGUKA A-Z….

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply