Winga nyota wa Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stqrs’ Simon Happygog Msuva amekamilisha mipango ya kujiunga na timu ya daraja la pili ya AL-QADSIAH.
Tayari jana amefanyiwa vipimo vya Afya na vimekwenda vyema.
Msuva ambaye alivunja mkataba na miamba ya soka ya Morocco, Wydad Casablanca anaanza maisha mapya ya soka nchini Saudi Arabia.