Home CAF HII HAPA ORODHA YA WASHINDI WOTE WA TUZO ZA CAF JANA USIKU…SENEGAL...

HII HAPA ORODHA YA WASHINDI WOTE WA TUZO ZA CAF JANA USIKU…SENEGAL WATAWALA MWANZO MWISHO….


Orodha ya wachezaji, makocha na timu zilizoshinda Tuzo za mwaka 2022 za Shirikisho la Soka la Afrika (CAF).

Tuzo hizo zimetolewa usiku huu wa Julai 21, 2022, Rabat nchini Morocco ambapo Sakho alikuwa akiwania nafasi hiyo dhidi ya Gabadinho Mhango wa Orlando Pirates na Zouhair El Moutaraji wa Wydad Athletic Club.

Player of the Year

Sadio Mané

Youth Player of the Year

Pape Matar Sarr

Goal of the Year

Pape Ousmane Sakho

Interclubs Player of the Year

Mohammed El Shenawy

Women Player of the Year

Asisat Oshoala

Men’s Coach of the Year

Aliou Cisse

Women’s Coach of the Year

Desiree Ellis

Women’s Club of the Year

Mamelodi Sundowns Ladies F.C.

Women Interclub Player of the Year

Evelyn Badu

Women Youth Player of the Year

Evelyn Badu

Club of the Year

Wydad AC

National Team of the Year

Senegal national football team

SOMA NA HII  KWISHA KAZIIII....MANGUNGU ARIDHIA KUWA MWENYEKITI 'BUBU' SIMBA....KATIBA YAPITISHWA....