Inakwenda kuwa Jumatano ya Kibabe sana kwa wapenzi wa #Soka ambapo wote tutaelekeza mawazo na macho yetu kwenye mtanange wa Real Madrid dhidi ya Frankfurt katika fainali ya UEFA Super Cup.
Uhondo ni kuwa kupitia kifurushi cha Poa 9,900/= tu utapata kutazama Live mechi hii ndani ya @dstvtanzania pekeee.
Piga *150*53# kulipia kwa urahisi zaidi.
#MsimuWaSokaLaKibabe