Habari za michezo

HII HAPA TIMU KUTOKA ZNZ ILIYOANZA MASHINDANO YA CAF KIBABE….INANAFASI KUBWA YA KUTINGA MAKUNDI…

admin September 12, 2022 10:24 am


Timu ya Kipanga ya Zanzibar imetoa sare ya 1-1 na Al Hilal Wau y Sudan Kusini jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam.

Mchezo huo ulikuwa wa raundi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa hatua za awali.

Timu hizo zitarudiana Septemba 17 Uwanja wa Amaan, Zanzibar na mshindi wa jumla atasonga mbele.

PAMOJA NA SIMBA KUIBIKA NA USHINDI MALAWI….MGUNDA AOGOPA KUUMBULIWA NA BIG BULLET KWA MKAPA… SAMATTA AANZA KUKIWASHA UPYA NA TIMU YAKE YA GENK….APIGA ‘BONGE LA GOLI’ DAKIKA ZA JIONI…

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply