Azam FC

FT: AZAM FC 1-0 SIMBA SC…..WAKIMATAIFA WAFINYIWA NDANI NA WANALAMBALAMBA…

admin October 27, 2022 9:12 pm

KLABU ya Azama Fc imefanikiwa kuinyuka Simba Sc bao 1-0 kwenye mchezo wa ligi kuu Tanzania bara, mchezo ambao ulipigwa kwenye dimba la Benjamini Mkapa Jijini Dar es Salaam.

Bao la Azam Fc lilifungwa na Prince Dube ambaye alipachika bao kali ambalo lilifungwa katika kipindi cha kwanza.

Mchezo huo ambao ulikuwa wa aina yake, licha ya Azam Fc kukosa nafasi za wazi wamefanikiwa kuondoka na ushindi huo kwa mara ya kwanza tokea mwaka 2017 dhidi yao Simba Sc.

CHIZIKA NA MZUKA WA USHINDI KWENYE KASINO YA MTANDAONI YA MERIDIANBET! TAJIRI TAJIRI TU…HIVI NDIVYO GSM ALIVYOZIMA ISHU YA NABI KUFUKUZWA YANGA…MAMBO HAYA 5 YALIKUWA LAZIMA ‘ASEPE’…

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply