- Habari za michezo
- Habari za Yanga
- Habari za Yanga Leo
- Michezo
- Michezo Bongo
- Michezo Soka la Bongo
- news
- Yanga SC
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.

Upangaji wa kikosi kilichoanza katika mchezo wa juzi ulionyesha wazi kuwa Yanga haikutaka kuingia kinyonge katika mchezo ule na ilipania kuwashangaza wenyeji jambo ambalo lilitimia.
Ni mchezo ambao kila mchezaji wa Yanga alionekana kutimiza wajibu wake ndani ya uwanja na pengine ni vigumu kuteua mchezaji bora wa mechi kwa upande wao jana.
Kama kuna watu ambao watabakia vichwani mwa wachezaji wa Club Africain basi ni kiungo Salum Abubakar ‘Sure Boy’, kipa Djigui Diarra na mshambuliaji Bernard Morrison.

