Habari za michezo

BAADA YA KUONA MAMBO MAGUMU SIMBA…, OKWA MAPEMA TU ARUDISHWA KWAO NIGERIA…ISHU NZIMA IKO HIVI…

admin November 19, 2022 7:15 pm

Kaimu Kocha Mkuu wa Simba SC, Juma Mgunda, amesema kiungo wao mshambuliaji Okwa, anasumbuliwa na nyonga na ndio sababu haonekani kikosini.

Mgunda ameyasema hayo jana Novemba 18, 2022 alipokuwa kwenye mkutano wa kuelekea mechi yao dhidi ya Ruvu Shooting unaochezwa leo huku  Wekundu hao wakiwa wageni.

“Nimekuwa nikisema na labda niseme tena, Okwa anaumwa. Alikuja akiwa ni mgonjwa, alituambia tatizo hilo alikuja nalo tangu kwao hivyo tumemruhusu arudi kwao kutibiwa,” alisema Mgunda.

KISA USHINDI WA GOLI 4-1 WA YANGA JUZI…JEMEDARI SAID AWAGEUKA SIMBA…AWAPA ‘MAKAVU LIVE’ KUHUSU TABIA ZAO… KWA JERO TU….. SHABIKI WA SIMBA ASHINDA MAMILIONI JAKCPOT YA 10bet ….

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply