Home Habari za michezo SINGIDA BIG STARS WAPANIA KUFUMUA ‘MSHONO’ SIMBA NA YANGA…KILIO KIKUBWA CHNUKIA…

SINGIDA BIG STARS WAPANIA KUFUMUA ‘MSHONO’ SIMBA NA YANGA…KILIO KIKUBWA CHNUKIA…

Singida Big Stars (SBS) imeanza kujipanga kupata matokeo mazuri katika michezo mitano ijayo ya Ligi Kuu mwezi huu ikiwemo ile inayozikutanisha na Simba na Yanga.

Msemaji wa timu hiyo, Hussein Massanza alisema wamejipanga kupata matokeo ambapo kwa sasa wameweka kambi jijini Arusha.

SBS katika msimamo inashika nafasi ya sita ikiwa na pointi 14 katika michezo minane ambayo imecheza. Michezo ijayo itakuwa ni dhidi ya Polisi Tanzania, Novemba 6, Simba, Yanga, KMC na Ruvu Shooting.

SOMA NA HII  MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI