Habari za michezo
TETESI ZA USAJILI: HUYU HAPA KIUNGO ‘KISHADA’ ANAYENUKIA SIMBA…BEI YAKE MIL 500..
admin
November 28, 2022
4:39 pm
Klabu ya Simba SC inahusishwa na kumsajili kiungo wa kati wa Primeiro De Agosto ya Angola, Dago Tshibamba Samu raia wa DR Congo kwenye usajili wa dirisha dogo.
Nyota huyo kwa mwenye umri wa miaka 25, thamani yake inatajwa kuwa ni takribani Tsh million 500.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.