Tetesi za Usajili Yanga
Habari za michezo

FEISAL SALUM “FEI TOTO” AULA TAIFA STARS….. MASTAA WENGINE HAWA HAPA….

Marce Ben Komba March 14, 2023 10:30 am

Kocha wa timu ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Adel Amrouche amemuita kikosini kiungo Feisal Salum katika michezo miwili ya kufuzu Afcon 2023 dhidi ya Uganda

Katika kikosi hicho cha wachezaji 31 kocha Amrouche amewaacha mabeki wa pembeni wa Simba, Mohamed Husseini na Shomari Kapombe.

FEI TOTO AITWA TAIFA STARS KIKOSI CHA WACHEZAJI31

KIKOSI CHA TAIFA STARS CHA WACHEZAJI 31

CLATOUS CHOTA CHAMA NDANI YA MBIO ZA KUWANIA MCHEZAJI BORA CAF CHAMPIONSHIP BAADA YA KUONA MAJI YANAZIDI UNGA…ZAMALEK WAOMBA MSAADA CAF ILI WAFUZU ROBO FAINAL…

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6131

Leave a Reply