Wakati mjadala ukizidi kupamba moto kutokana na kujumuishwa katika kikosi cha Timu ya Taifa Kiungo wa Yanga, Feisal Salum “Fei Toto” wakati amekaa nje pasipo kucheza mchezo wowote wa mashindano kwa muda usiopungua miezi mitatu kutokana na kuwa na mgogoro na klabu yake.
Kamanda Geof Leah anasema kuwa Feisal Salum ameitwa timu ya Taifa ili kuondolewa Stress (msongo wa mawazo) kutokana na hiki ambacho anakipitia kati yake na Yanga.