Habari za michezo
SIMBA IJAYO ITAKUWA ZAIDI YA BARCELONA…”KOCHA MKUU ROBERTINHO
Marce Ben Komba
April 3, 2023
9:33 am
Kocha Mkuu, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amesema baada ya muda wa miezi minne aliyokaa na timu anaamini katika siku za baadae Simba itakuwa na kikosi imara.
Robertinho amesema timu hiyo inacheza kwa maelewano mazuri ikiwa na mpira hata isipokuwa nao na hilo ni jambo jema.
“Nina muda wa miezi minne hapa lakini hii timu itakuwa imara zaidi siku chache zijazo. Timu inacheza vizuri ikiwa na mpira na hata isipokuwa nao.“- Robertinho
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.