Mabingwa wa kutandaza kandanda safi barani Afrika, kandanda lilioenda shule, kandanda lenye viwango vya UEFA hapa nawazungumzia Young Africans walishuka dimbani huko Lubumbashi nchini Kongo kumenyana na Tp Mazembe katika mchezo wa mwisho wa kundi D kombe la shirikisho barani Afrika.
Mechi hii ilipigwa katika uwanja wa Tp Mazembe na ilianza mida ya saa 10:00 jioni na kurushwa Azam Sports kupitia channel yake ya ZBC2