YANGA YAWEKA REKODI HII MPYA...HAKUNA TIMU ILIYOWAHI...AFRIKA YATETEMA
Habari za Simba

SIMBA NA YANGA ZAISHTUA AFRIKA…ZAPANDA VIWANGO VYA CAF KWA KASI YA AJABU

Marce Ben Komba April 4, 2023 8:01 am

Klabu za Simba na Yanga zimepanda katika viwango vya ubora kwenye michuano ya CAF baada ya kukamilika kwa hatua ya makundi ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika na kombe la Shirikisho.

Klabu ya Simba imepanda kwa nafasi nne kutoka nafasi ya 11 mpaka nafasi ya 7.

Simba ni miongoni mwa timu nane zilizofuzu robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa wakisubiri droo ya mechi za robo fainali itakayopigwa Jumatano huko Misri.

Yanga imepanda kwa nafasi 26 kutoka nafasi ya 46 mpaka nafasi ya 20 baada ya kufanikiwa kutinga robo fainali ya michuano ya kombe la Shirikisho.

Kwa mara ya kwanza Yanga imeingia katika klabu 20 bora barani Afrika. Wananchi wanaweza kusogea juu zaidi kama watafanikiwa kuvuka hatua ya robo fainali.2Q1

MBRAZIL “SIMBA YA ROBO NI MOTO BALAAA…USAJILI MPYA YANGA WAITIKISA MAZEMBE DOKTA SIMBA AZUNGUMZA HAYA…KUHUSU MAJERAHA YA KAPOMBE,KIBU NA BANDA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply