Home CAF HAWA HAPA VIBONDE LIGI YA MABINGWA AFRIKA…WATOLEWA BILA USHINDI WOWOTE

HAWA HAPA VIBONDE LIGI YA MABINGWA AFRIKA…WATOLEWA BILA USHINDI WOWOTE

HAWA HAPA VIBONDE LIGI YA MABINGWA AFRIKA...WATOLEWA BILA USHINDI WOWOTE

Miamba ya Uganda, Vipers Sc imekubali kichapo cha 2-0 dhidi ya Horoya AC ya Guinea na kuaga michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika bila ushindi wowote kwenye mechi 6 za hatua ya makundi, sare mbili, vipigo vinne.

Horoya AC imeaga mashindano ikiwa na alama 7 kwenye Kundi C baada ya mechi 6 ikiwa imeshinda mechi 2 sare moja na vipigo vitatu.

#CAFCL: Uwanja wa Jenerali Lansana Conte
HOROYAAC 2-0 VIPERS SC
Barry 11′ Traore 90+3′
MSIMAMO KUNDI C 1. Raja CA-132. Simba SC -93. Horoyal AC-7 4. Vipers Sc-2

NB: Vipers SC imekuwa klabu ya 24 kwenye historia ya Ligi ya Mabingwa Afrika kumaliza hatua ya makundi bila kuambulia ushindi.

SOMA NA HII  TAKWIMU ZINAONGEA.....MPAKA SASA CHAMA HOI KWA FEI TOTO...KAACHWA MBALI SANA...