Kuu na timu hizo kutoka suluhu, mara ya pili zilikutana Mei 13, 2019 mchezo wa Kombe la Mapinduzi na kutoka suluhu, kisha zikakutana Mei 18,2022 na kutoka sare ya bao 1-1 ukiwa mchezo wa Ligi Kuu.
Tangu ASFC iliporejeshwa mwaka 2015, Simba imebeba ubingwa mara tatu, 2016/17, 2019/20 na msimu wa mwaka 2020/21 wakati Yanga ikibeba mara mbili 2015/16, na 2021/22, Mtibwa 2017/18 na Azam msimu wa mwaka 2018/19.