Habari za Simba leo
Habari za michezo

MWAKA WA MAJANGA KWA NTIBAZONKIZA….NDAYIRAGIJE AMKATAA MCHANA KWEUPEE…

admin May 30, 2023 12:07 pm

Kocha Mkuu wa Burundi ‘Intamba Mu Rugamba’, Etienne Ndayiragije amemwaacha nje ya kikosi kiungo wa Simba SC, Saido Ntibazonkiza wakati Burundi ikijiandaa kukabiliana na Namibia kwenye michezo ya kufuzu Afcon 2023 nchini Ivory Coast mwezi ujao.

Saido anatuhumiwa kwa utovu wa nidhamu baada ya kukataa kushiriki mchezo wa kirafiki dhidi ya Indonesia mapema mwezi Machi mwaka huu.

Mlinda mlango wa Coastal Union Justin Ndikumana ameitwa.

Kikosi kamili (Vilabu vyao kwenye mabano)

MAGOLIKIPA

R.Onesime (MESSAGER N.) N.Justin (COASTAL UNION) M.Fabien (VIPERS SC.) B.Aladin (R FC WARNANT)

MABEKI

N.DAVID (SOFAPAKA FC) N.Youssuf (OGC NICE) H.Rashid Léon (BUMAMURU FC) M.Weymans (K.BEERSCHOT) M.Collin (AIGLE NOIR) N.ISMAEL (KIYOVU SC) N.Christophe (ACADEMICO DE VISEU) M.Derrick (NKANA FC)

VIUNGO

N.Jospin (YENI MALATYASPOR) J.Liongola (LIERSE SK) I.Donasiyano (Oakland Roots S.C.) M.Emmanuel (KMS Fc) T.Ngabo (UN. KAERJENG 97) B.Abedi (KIYOVU SC) N.Shassir (BANDARI FC) G.Jean Claude (MAGARA Y.B) M.Aaron (GREEN EAGLES)

WASHAMBULIAJI

B.Saido (AEL LIMASSOL) B.Caleb (KAIZER CHIEFS) S.Hussein (AS KIGALI) N.Pacifique (VALOUR FC) M.Aaron (GREEN EAGLES) B.Richard (BUMAMURU) K.Bienvenue (MFK VYOKOV) C.Crispaldinho (RCS Verlaine)

MHOLANZI WA USAJILI SIMBA AANZA NA KIFAA HIKI ….TRY AGAIN AMPA RUNGU LA KUSHUSHA VIFAA … BAADA YA YANGA KUBONDWA JUZI…JEMEDARI SAIDI KAIBUKA NA HILI JIPYA AISEE…AMTAJA AZIZI KI..

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply