Habari za michezo
MWAKA WA MAJANGA KWA NTIBAZONKIZA….NDAYIRAGIJE AMKATAA MCHANA KWEUPEE…
admin
May 30, 2023
12:07 pm
Kocha Mkuu wa Burundi ‘Intamba Mu Rugamba’, Etienne Ndayiragije amemwaacha nje ya kikosi kiungo wa Simba SC, Saido Ntibazonkiza wakati Burundi ikijiandaa kukabiliana na Namibia kwenye michezo ya kufuzu Afcon 2023 nchini Ivory Coast mwezi ujao.
Saido anatuhumiwa kwa utovu wa nidhamu baada ya kukataa kushiriki mchezo wa kirafiki dhidi ya Indonesia mapema mwezi Machi mwaka huu.
Mlinda mlango wa Coastal Union Justin Ndikumana ameitwa.
Kikosi kamili (Vilabu vyao kwenye mabano)
MAGOLIKIPA
R.Onesime (MESSAGER N.) N.Justin (COASTAL UNION) M.Fabien (VIPERS SC.) B.Aladin (R FC WARNANT)
MABEKI
N.DAVID (SOFAPAKA FC) N.Youssuf (OGC NICE) H.Rashid Léon (BUMAMURU FC) M.Weymans (K.BEERSCHOT) M.Collin (AIGLE NOIR) N.ISMAEL (KIYOVU SC) N.Christophe (ACADEMICO DE VISEU) M.Derrick (NKANA FC)
VIUNGO
N.Jospin (YENI MALATYASPOR) J.Liongola (LIERSE SK) I.Donasiyano (Oakland Roots S.C.) M.Emmanuel (KMS Fc) T.Ngabo (UN. KAERJENG 97) B.Abedi (KIYOVU SC) N.Shassir (BANDARI FC) G.Jean Claude (MAGARA Y.B) M.Aaron (GREEN EAGLES)
WASHAMBULIAJI
B.Saido (AEL LIMASSOL) B.Caleb (KAIZER CHIEFS) S.Hussein (AS KIGALI) N.Pacifique (VALOUR FC) M.Aaron (GREEN EAGLES) B.Richard (BUMAMURU) K.Bienvenue (MFK VYOKOV) C.Crispaldinho (RCS Verlaine)
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.