Habari za michezo

HAWA HAPA WACHEZAJI WA SIMBA WALIOONGEZA MKATABA MPAKA 2025

Staff Desk July 10, 2023 10:20 pm

KLABU ya Simba imemrejesha beki wake David Kameta ‘Duchu’ kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Mtibwa Sugar ya Morogoro

BEKI wa kushoto wa Simba SC, Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ ameongeza mkataba wa kuendelea na majukumu Simba SC hadi mwaka 2025.

BEKI mkongwe wa Simba SC, Shomari Salum Kapombe ameongeza mkataba wa kuendelea na kazi Msimbazi hadi mwaka 2025.

KUHUSU ISHU YA BALEKE KUSEPA CONGO…MANARA AWAPA ZA USO SIMBA….AITAJA GSM… MMESIKIA LAKINI , MALONE AWAPA KIBURI SIMBA ASEMA TIMU INAYOFUATA NA HULL CITY ULAYA……. GAMONDI, SOKA LITAPIGWA SANA HERSI ASEMA VYUMA VINAKUJA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply