Habari za Yanga SC
Habari za michezo

GAMONDI AIPA TANO SIMBA, BAADA YA KIPIGO

Staff Desk August 14, 2023 3:22 pm

Licha ya kupoteza mchezo wa ngao ya jamii kocha mkuu wa klabu ya Yanga Miguel Gamondi amesema amefurahishwa na kiwango walichokionyesha vijana wake.

Licha ya kupoteza mchezo wa ngao ya jamii kocha mkuu wa klabu ya Yanga Miguel Gamondi amesema amefurahishwa na kiwango walichokionyesha vijana wake. Gamond amewasifia pia wapinzani wao kwa kusema kuwa Simba ni timu kubwa na inawachezaji wazuri ambao waliwapa changamoto kubwa uwanjani.

YANGA KINYONGE WAIACHA NGAO YA JAMII NYUMA UKATILI WA CHA MALONE KWA YANGA JANA WAMUIBUA DEWJI….ALICHOKISEMA HIKI HAPA…

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply