JKT TANZANIA WAENDELEZA UONEVU
Habari za michezo

KIVUMBI LEO LIGI KUU, HAPA YANGA PALE JKT TANZANIA…. LEO NI LIGI YA MABINGWA

Staff Desk August 29, 2023 1:41 pm

Ligi Kuu ya soka ya NBC Tanzania bara inaendelea tena leo Agosti 29 kwa mchezo mmoja ambapo Mabingwa watetezi wa Ligi hiyo Yanga SC wachachuana na Mabingwa wa Championship 2022/23 JKT Tanzania katika dimba la Azam Complex Chamazi.

Yanga SC vs JKT Tanzania

Azam Complex, Chamazi

saa 1:00 jioni

Yanga na JKT Tanzania ni miongoni mwa timu chache ambazo hazijaruhusu goli kwenye NBCPL msimu huu wa 2023/24 sambamba na, Singida Fountain Gate FC, Mashujaa FC na Geita Gold FC.

BEKI LA SIMBA LAPAGAWA NA KINA PACOME, MAXI AFUNGUKA HAYA AMBANGILE AWEKA WAZI UHATARI WA YANGA KWENYE MASHAMBULIZI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply