Home Habari za michezo MECHI SABA ZAMPA MTU MILIONI 14 MERIDIAN BET

MECHI SABA ZAMPA MTU MILIONI 14 MERIDIAN BET

Kupitia Kampuni ya Meridianbet ambao ni wababe wa michezo ya kubashiri wametoa mshindi kwa mara nyingine tena ambapo zamu hii wametoa mshindi wa milioni 14 mkazi wa jiji la Dar-es-salaam ambaye alibashiri katika michezo saba tu.

Kikiwa kiasi cha shilingi 25000 tu kimemuwezesha mtu kupata milioni 14 taslimu baada ya kubashiri michezo saba ambayo ilikua imewekwa katika tovuti ya Meridianbet na kujinyakulia kitita hicho katika kipindi hiki ambacho ligi mbalimbali zilisimama lakini kuna michezo mbalimbali ilikua ikiendelea vilevile.

Ligi mbalimbali zinakaribia kurejea barani ulaya ni wakati wako sasa wewe mteja wa Meridianbet kujiandaa na msimu mpya wa ligi ambapo Tumekuandalia huduma bomba zaidi na ODDS za kibabe kabisa ambapo unaweza kubashiri kupitia tovuti zetu za mitandanoni na kwenye simu za kitochi kwa kupiga *149*10#

Wataalamu hao wa michezo ya kubashiri wanaendelea kutoa washindi kila siku kupitia michezo mbalimbali ikiwemo mpira wa miguu, lakini vilevile Kasino mitandaoni ambapo watu wanajishidia mikwanja tu kwakua wanatoa ODDS nzuri kuliko sehemu yeyote.

Hii inaendelea kuonesha namna gani kampuni ya Meridianbet inaendelea kuonesha sio wababaishaji kwani inaendelea kutoa washindi kila kukicha na leo hii Mkazi wa Dar-es-salaam ameweza kujishindia kitita cha milioni 14 baada ya kubashiri na wataalamu wa michezo ya kubashiri nchini Tanzania.

Sub-Heading:

Pata mizunguko 50 ya bure kucheza sloti na michezo ya kasino ya mtandaoni ukijisajili na Meridianbet. Jisajili kupitia link hii

 

Unataka kucheza kasino ya mtandaoni? Basi nenda Meridianbet wana michezo mingi sana ambayo ni rahisi kwako kushinda kama Aviator kwa dau la shilingi 200/= tu basi unaweza kuwa Milionea, Poker, Roullete, Piggy Party na mingine ambayo ni rahisi sana na pesa yake ni ya chap chap hakuna kusema unasubiri wiki au siku iishe.

Pia Meridianbet imeleta mchongo wa  hela kila siku. Kuna hii bonasi ya ukaribisho kwa wateja wapya wote wanapata Tsh 25,000/= ya kucheza michezo ya kasino ya mtandaoni. Ingia mchezoni www.meridianbet.co.tz

Unachelewa wapi kujiunga na Meridianbet upate bonasi kubwa kama hiyo uitumie kucheza michezo ya kasino ambayo inayotolewa na Meridianbet na uipendayo wewe mteja wao. Jiunge sasa na Mabingwa ujiweke kwenye nafasi ya ushindi.

Usikose kucheza Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet yenye michezo rahisi ya sloti kama Poker, Aviator, Roulette, Piggy Party, Pia Premium ambayo hiyo yote itakuwa karibu nawe wakati ligi zikiwa zimeisha na wewe utaweza kujipigia pesa huko.

SOMA NA HII  MASTAA SIMBA WAJIVIKA MABOMU KUMALIZANA NA POWER DYNAMO