Mlinzi wa zamani wa Simba SC, Mohamed Ouattara amejiunga na klabu ya Al-Ain FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Falme za Kiarabu (UAE) kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Mlinzi wa zamani wa Simba SC, Mohamed Ouattara amejiunga na klabu ya Al-Ain FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Falme za Kiarabu (UAE) kwa mkataba wa mwaka mmoja. Ouattara (24) raia wa Burkina Faso alisajiliwa na aliyekuwa kocha wa Simba Zoran Maki msimu uliopita kabla ya kuachana na timu hiyo msimu huu.