Habari za michezo
BEKI HUYU WA SIMBA ATIMKIA UARABUNI, ISHU IKO HIVI
Staff Desk
September 5, 2023
12:40 pm
Mlinzi wa zamani wa Simba SC, Mohamed Ouattara amejiunga na klabu ya Al-Ain FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Falme za Kiarabu (UAE) kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Mlinzi wa zamani wa Simba SC, Mohamed Ouattara amejiunga na klabu ya Al-Ain FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Falme za Kiarabu (UAE) kwa mkataba wa mwaka mmoja. Ouattara (24) raia wa Burkina Faso alisajiliwa na aliyekuwa kocha wa Simba Zoran Maki msimu uliopita kabla ya kuachana na timu hiyo msimu huu.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.