Habari za Yanga
Habari za michezo

KUHUSU KUFELI KWA YANGA HERSI ASEMA MANENO HAYA

Staff Desk September 16, 2023 12:59 pm

Yanga hatujaja hapa [Rwanda] kufanya utalii, tumekuja kutafuta ushindi. Wapo watu wanaoweza kuomba dua ili tushinde, wafanye hivyo. Viongozi tupo kuhakikisha wachezaji wanatoa damu na jasho ili timu ishinde.

Wachezaji siku hizi wanataka ‘mzigo’ ili wakimaliza shughuli uwanjani mifuko yao icheke. Lakini kabla ya yote hayo tumesajili kikosi imara ili kitupe matokeo, haya mengine yote hayawezi kufanya kazi kama una timu mbovu.

Chini ya uongozi wangu Yanga itaendelea kupanda tu! Mimi kama Rais wa klabu hii nawaambia hatuwezi kufeli na mimi sijawahi kufeli mtihani katika mtihani wowote.

MANGUNGU ATOA KAULI YA KIBABE LEO SIMBA DHIDI YA POWER DYNAMO CHOCHEA USHINDI WAKO LEO KUPITIA SLOT YA RAININ MONEY NDANI YA MERIDIANBET …

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply