Tetesi za Usajili Simba
Habari za michezo

ROBERTINHO MATATANI SIMBA, UONGOZI WATOA TAMKO HILI

Staff Desk September 18, 2023 7:03 pm

Taarifa za ndani kutoka Simba zinaeleza kuwa Kibarua cha kocha wa Simba kipo mashakani hiyo ni baada ya Uongozi wa Simba kumpa mechi moja ya marudiano vs Power Dynamos endapo Simba itashindwa kufuzu basi watamfukuza.

Robertinho amepewa taarifa hiyo na uongozi huo baada ya sare ya ugenini waliyoipata Zambia na kuambiwa kuwa ili aendelee kusalia basi anatakiwa kuipeleka Simba kwenye makundi kwa kuwaondoa Power Dynamos.

Viongozi hawataki utani kabisa na Simba wamesajili vizuri wamempa Kila kitu kwahiyo wamempa mechi moja Simba lazima ifuzu hatua ya Makundi.

UCHOCHORO WA SIMBA KUWA KIBONDE UKO HAPA NAMUNGO KUIVURUGA YANGA, KAZE AMFANYIA UMAGIA GAMONDI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply