Habari za Yanga leo
Habari za michezo

HIVI NDIVYO MZIMU WA NABI UNAVYOMTESA GAMONDI

Staff Desk September 24, 2023 6:58 pm

Inawezekana mashabiki wa Yanga wanafurahi lakini hakuna mtu mwenye presh kubwa kama Gamondi kwa sababu mtangulizi wake [Nabi] kafanya vitu vikubwa ambavyo Gamondi anapambana kuvifikia.

Nabi ameondoka akiwa amechukua Ngao ya Jamii, Ligi Kuu ya NBC na Azam Sports Federation Cup, yote hayo amechukua mara mbili mfululizo huku akiwa ameifikisha Yanga kwenye Fainali ya Kombe la Shirikisho la CAF.

Nabi aliiongoza Yanga kucheza mechi zaidi ya 40 bila kupoteza, kwa hiyo inawezekana vitu ambavyo amevifanya Nabi vikawa vinampa presha kubwa Gamondi. Amendika mchambuzi Edgar Kibwana.

BACCA SASA KUTOKA LIGI KUU MPAKA ULAYA RUNGU LA TFF LATUA AZAM KOCHA AKUTWA NA HILI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply