simba
Habari za michezo

PROFESA JAY ATEMBELEWA NA KIONGOZI WA SIMBA

Staff Desk September 25, 2023 12:02 pm

Afisa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba SC Tanzania, Iman Kajula amemtembelea Professor Jay na kumjulia hali nyumbani kwake.

Kajula ametumia fursa hiyo kufikishia salam za viongozi na mashabiki wa Simba ambao wanathamini mchango wake mkubwa kama shabiki wa Simba.

MIQUISSONE KUTOKA SIMBA HADI KMC TENA KWA MKOPO POWER DYNAMO BADO INAWAUMIZA KICHWA SIMBA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply