Home Habari za michezo PROFESA JAY ATEMBELEWA NA KIONGOZI WA SIMBA Habari za michezoHabari za SimbaHabari za Simba LeoMichezoMichezo BongoMichezo Soka la BongonewsSimba SC PROFESA JAY ATEMBELEWA NA KIONGOZI WA SIMBA By Staff Desk - September 25, 2023 0 Afisa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba SC Tanzania, Iman Kajula amemtembelea Professor Jay na kumjulia hali nyumbani kwake. Kajula ametumia fursa hiyo kufikishia salam za viongozi na mashabiki wa Simba ambao wanathamini mchango wake mkubwa kama shabiki wa Simba.