eng
Habari za michezo

RAIS WA YANGA KUTOKA JANGWANI MPAKA KILELE CHA KILIMANJARO

Staff Desk October 18, 2023 6:56 pm

Rais wa Yanga SC, Hersi Said ni miongoni mwa viongozi waliofanikiwa kufika katika kilele cha Mlima wa Kilimanjaro, Jijini Arusha.

Rais huyo aliyeko mapumzikoni hivi sasa ameonesha picha yake alivyokuwa amefika kileleni hapo, huku akiwa amejifunika nguo yenye nembo ya timu hiyo.

JOB AMTULIZA MAZIMA CHE MALONE TRY AGAIN AWAKUMBUSHA WATANZANIA JAMBO HILI MUHIMU SIMBA VS AL AHLY

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply