Aliwapongeza TFF kuondoa soka mchezo wa kihuni na kuwa kazi inayoheshimiwa na wadhamini kuweka fedha katika mpira kusaidia kuendeleza soka la Tanzania.
Aliongeza kuwa kupigia mpira unatangazia sehemu kubwa hivyo wanapongeza viongozi wote wa michezo ikiwemo Shirikisho na Wizara inayosimamia michezo kusimamia vizuri sekta hii kwa kufanya michezo kuwa juu.