Habari za michezo

USHIRIKINA WAIPONZA TIMU YA MASHUJAA FC, WAPIGWA FAINI HII

Staff Desk November 3, 2023 10:47 am

Klabu ya Mashujaa imekumbana na adhabu ya kutozwa faini ya Sh1 milioni kwa kosa la kufanya vitendo vinavyoashiria imani za kishirikina baada ya mmoja wa viongozi kuonekana akimwaga kimiminika nje ya geti la kuingilia Uwanja wa Mkwakwani Oktoba 25 wakati wakienda kufanya mazoezi.

Klabu ya Mashujaa imekumbana na adhabu ya kuyozwa faini ya Sh1 milioni kwa kosa la kufanya vitendo vinavyoashiria imani za kishirikina baada ya mmoja wa viongozi kuonekana akimwaga kimiminika nje ya geti la kuingilia Uwanja wa Mkwakwani Oktoba 25 wakati wakienda kufanya mazoezi. Mashujaa katika adhabu nyingine imetozwa faini Sh1 milioni kwa kosa la mashabiki wake kurusha chupa kiwanjani baada ya Coastal kupata penalti dakika ya 88.

GAMONDI ATOA KAULI YA USHINDI BAADA YA DAKIKA 130 DABI YA KARIAKOO WALIOMSHAMBULIA SHABIKI WA YANGA KUADHIBIWA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply