Habari za michezo
USHIRIKINA WAIPONZA TIMU YA MASHUJAA FC, WAPIGWA FAINI HII
Staff Desk
November 3, 2023
10:47 am
Klabu ya Mashujaa imekumbana na adhabu ya kutozwa faini ya Sh1 milioni kwa kosa la kufanya vitendo vinavyoashiria imani za kishirikina baada ya mmoja wa viongozi kuonekana akimwaga kimiminika nje ya geti la kuingilia Uwanja wa Mkwakwani Oktoba 25 wakati wakienda kufanya mazoezi.
Klabu ya Mashujaa imekumbana na adhabu ya kuyozwa faini ya Sh1 milioni kwa kosa la kufanya vitendo vinavyoashiria imani za kishirikina baada ya mmoja wa viongozi kuonekana akimwaga kimiminika nje ya geti la kuingilia Uwanja wa Mkwakwani Oktoba 25 wakati wakienda kufanya mazoezi. Mashujaa katika adhabu nyingine imetozwa faini Sh1 milioni kwa kosa la mashabiki wake kurusha chupa kiwanjani baada ya Coastal kupata penalti dakika ya 88.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.