Habari za michezo

YANGA WAMKOSHA SAMIA AWAPA NENO LA FURAHA

Staff Desk November 6, 2023 6:28 am

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameipongeza timu ya Yanga kwa ushindi dhidi ya Simba katika mchezo wa Ligi kuu ya Tanzania Bara uliopigwa leo Novemba 5 Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam.

Kupitia kurasa zake rasmi za Mitandao ya Kijamii Rais Samia ameandika;

“Hongereni Yanga kwa ushindi dhidi ya Simba katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara. Upinzani wenu wa jadi wa zaidi ya miaka 85 sasa ni sehemu muhimu ya burudani yetu. Mnawaleta pamoja na kwa namna kipekee, mamilioni ya Watanzania ndani na nje ya nchi yetu”.

Katika mchezo huo Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 5-1.

GAMONDI AFUNGUKA HAYA BAADA YA KUWAKANDA SIMBA TSHABALALA AFUNGUKA KILICHOWAPONZA SIMBA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply