Habari za michezo

KIUNGO MSHAMBULIAJI WA SIMBA KUTIMKIA GEITA GOLD

Staff Desk November 11, 2023 2:41 pm

Kiungo Mshambuliaji wa Simba, Saidi Ntibazonkiza hayupo kwenye mipango ya klabu ya Simba kwa baada ya dirisha lijalo la usajili kupita na tayari klabu imempa taarifa.

Kutokana na hilo kiungo huyo anahusishwa na kuhitajika na Geita Gold na Dodoma Jiji ya Dodoma kwa uhamisho wa dirisha lijalo la usajili kutoka klabu ya Simba.

GGFC inatazamwa kama sehemu sahihi zaidi kwa mujibu wa kambi ya klabu ya Geita Gold FC na wataanza mazungumzo hivi karibuni ili kuipata saini ya Mchezaji huyo.

ROBERTINHO AGUSIA USAJILI WA SIMBA GAMONDI AWAGEUKIA HAWA JAMAA KAMA UTANI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply