Habari za michezo

KWENYE HILI SIMBA WAKIAMUA YANGA HAWACHOMOKI

Staff Desk November 15, 2023 11:47 am

Wakti kukiwa na sintofahamu juu ya Nembo ya Simba kutumika katika bango lililowekwa na Yanga kusherehesha ushindi wao wa bao 5-1 walioupata dhidi ya Simba Novemba 5 katika Uwanja wa Mkapa.

Kuna wanaoitaka Klabu ya Simba kwenda Mahakamani kwa vile nembo ya Klabu imetumika Kibiashara na mtu mwingine pasipo idhini yao.

Alex Ngereza anasema;

“Yanga hawachomoki hapa kama Simba wakiamua kwa kawaida huwezi kutumia logo ya timu nyingine yenye wadhamini wake kutangaza wadhamini wako”

Msikilize ngereza akifafanua kwenye Video hapa chini;

 

View this post on Instagram

 

A post shared by ALEX NGEREZA (@alexngereza._)

CHILUNDA APEWA MTIHANI HUU NA UONGOZI WA SIMBA BANGO LA YANGA LAZUA MJADALA ACHAMBUZI ASEMA HAYA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply