Home Habari za michezo KWENYE HILI SIMBA WAKIAMUA YANGA HAWACHOMOKI

KWENYE HILI SIMBA WAKIAMUA YANGA HAWACHOMOKI

0

Wakti kukiwa na sintofahamu juu ya Nembo ya Simba kutumika katika bango lililowekwa na Yanga kusherehesha ushindi wao wa bao 5-1 walioupata dhidi ya Simba Novemba 5 katika Uwanja wa Mkapa.

Kuna wanaoitaka Klabu ya Simba kwenda Mahakamani kwa vile nembo ya Klabu imetumika Kibiashara na mtu mwingine pasipo idhini yao.

Alex Ngereza anasema;

“Yanga hawachomoki hapa kama Simba wakiamua kwa kawaida huwezi kutumia logo ya timu nyingine yenye wadhamini wake kutangaza wadhamini wako”

Msikilize ngereza akifafanua kwenye Video hapa chini;

 

View this post on Instagram

 

A post shared by ALEX NGEREZA (@alexngereza._)