Habari za michezo
SIMBA YAJIBU ISHU YA KUFUNGIWA KUSAJILI KISA SAKHO
Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limeifungia kusajili Klabu ya Simba mpaka itakapolipa madai ya Klabu ya Teungueth ya Senegal juu ya mauzo ya Mchezaji Pape Ousmane Sakho ambaye kwasasa anakipiga katika Timu ya Quevilly Rouen Metropole ya Ufaransa.
-
Klabu ys Simba imefafanua kuhusu maamuzi hayo ya FIFA;

Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.