Yanga SC kusajili mastaa Azam FC
Azam FC

KUMBE ISHU YA KIPRE KUTIMKIA SIMBA SC IKO HIVI….. AZAM WAFUNGUKA KILA KITU

Staff Desk December 9, 2023 1:18 pm

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Azam, Zakaria Thabiti maarufu kama Zakazakazi amefunguka kuhusu tetesi za klabu ya Simba kumtaka winga wao, Kipre Jr ambaye kwa siku za hivi karibuni amekuwa mwiba kwelikweli kwenye lango la mpinzani.

Akiongea baada ya ushindi mnono wa mabao 5-0 dhidi ya KMC, Zaka amesema kama kweli wanamtaka wanatakiwa kuwa na vijana wadogo wenye miaka 22, yaani wachezaji 25 ndiyo sawa na Kipre JR mmoja.

Zakaria amesema hata Real Madrid ya Ligi Kuu ya Hispania wenyewe pia walimtamani Kipre Jr lakini wameshindwa kumpata.

SIMBA WASHINDWE WENYEWE HALI MBAYA YA MAHUJAA FC YAMBAGIHA MANYANGA BARESI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply