Habari za michezo
KAMA UTANI VILE KOCHA NAMUNGO ABWAGA MANYANGA
Staff Desk
December 12, 2023
6:34 pm
Aliyekuwa kocha wa klabu ya Namungo FC ya Lindi, Denis Kitambi ameachana na klabu hiyo.
Jana (Jumatatu) baada ya mazoezi alipata muda wa kuwaaga wachezaji na Viongozi wa klab hiyo na kuwatakia kheri katika michezo yao ijayo.
Kitambi alichukua majukumu ya kuinoa Namungo FC baada ya kuondoka kwa Kocha Cedrick Kaze.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.