Home Habari za michezo KAMA UTANI VILE KOCHA NAMUNGO ABWAGA MANYANGA Habari za michezoMichezoMichezo BongoMichezo Soka la BongonewsUncategorized KAMA UTANI VILE KOCHA NAMUNGO ABWAGA MANYANGA By Staff Desk - December 12, 2023 0 Aliyekuwa kocha wa klabu ya Namungo FC ya Lindi, Denis Kitambi ameachana na klabu hiyo. Jana (Jumatatu) baada ya mazoezi alipata muda wa kuwaaga wachezaji na Viongozi wa klab hiyo na kuwatakia kheri katika michezo yao ijayo. Kitambi alichukua majukumu ya kuinoa Namungo FC baada ya kuondoka kwa Kocha Cedrick Kaze.