TUTAKACHOMFANYA WYDAD ATAJUTA KUJA….. AHMED ALLY
Simba SC, wamesema watahakikisha wanamfunga kwa idadi kubwa ya magoli Wydad katika mechi yao ya nne ya Makundi ya Klabu Bingwa Afrika Desemba 19, 2023…
Simba SC, wamesema watahakikisha wanamfunga kwa idadi kubwa ya magoli Wydad katika mechi yao ya nne ya Makundi ya Klabu Bingwa Afrika Desemba 19, 2023…
Aliyekuwa kocha wa klabu ya Namungo FC ya Lindi, Denis Kitambi ameachana na klabu hiyo. Jana (Jumatatu) baada ya mazoezi alipata muda wa kuwaaga wachezaji…
Akiwa nje akiendelea kuuguza majeraha yake ya kifundo cha mguu ‘enka’, beki wa kushoto wa Yanga, Joyce Lomalisa amepewa onyo hiyo, Moses Etutu. Beki huyo…
Yanga Jumamosi itarudi Kimataifa. Itakuwa uwanja wa Mkapa kuwakabirisha Al Ahly na kocha Miguel Gamondi amesema anakazi kubwa kuhakikisha washambuliaji wake wanatumia vyema nafasi za…
Kocha mpya wa Simba SC, Abdelhak Benchikha ametoa kauli nzito na ya kuwapa faraja mashabiki wa klabu hiyo ambao walikuwa wameikatia tamaa timu yao. Kupitia…
OFFICIAL: Kikosi cha SIMBA SC kinachoanza dhidi ya Asec Mimosa Lakred Israel Zimbwe Jr Inonga Kennedy Che Malone Ngoma Mzamiru Kibu D Saido Baleke
Fiston Mayele atakabiliana na Wakongomani wenzake wakati klabu yake ya Pyramids ikivaana na TP Mazembe katika mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi ya Ligi…
Uongozi wa Simba SC umesema utamtangaza kocha wake mpya kabla haijacheza na ASEC Mimosas ya vory Coast katika mchezo wa kwanza wa Kundi B wa…
Mshambuliaji wa Simba, Shaaban Chilunda ana kazi ya kujitetea mwenyewe uwanjani, ili kuwaonyesha viongozi wa klabu hiyo hawakukosea kumsajili, kwani usajili wake uliwashitua mashabiki wengi.…