Home Habari za michezo SIMBA YAIBWAGA YANGA KIMAFANIKIO…..TAKWIMU MPYA HIZI HAPA…

SIMBA YAIBWAGA YANGA KIMAFANIKIO…..TAKWIMU MPYA HIZI HAPA…

Habari za michezo

Al Ahly ndio Klabu yenye mafanikio zaidi Barani Afrika, tangu kuanzishwa kwake mwaka 1907 imefanikiwa kutwaa jumla ya Mataji 150, pia ni Klabu iliyofanikiwa zaidi Ulimwenguni kwa kigezo cha Mataji, hii ndio sababu ya kujulikana kama Klabu ya Karne.

Kwa mujibu wa Africa Facts Zone, hivi ndivyo Vilabu vyenye mafanikio zaidi barani Afrika mpaka Februari 2024;

Africa’s Most Successful Clubs (Update)

1. Al Ahly – 150 trophies
2. Kaizer Chiefs – 93 trophies
3. CS Mindelense – 88 trophies
4. Asante Kotoko – 83 trophies
5. Hearts of Oak – 80 trophies
6. Zamalek – 79 trophies
7. ASEC Mimosas – 71 trophies
8. Esperance – 66 trophies
9. Saint George SC – 64 trophies
10. Stade Malien – 59 trophies
11. Africa Sports – 58 trophies
12. Simba SC – 54 trophies
13. Wydad Casablanca – 53 trophies
14. Young Africans SC – 51 trophies
15. Mufulira Wanderers – 49 trophies
16. Gor Mahia ????????, Nkana FC – 48 trophies each
18. Orlando Pirates – 46 trophies
19. Sporting Praia – 45 trophies
20. Wallidan FC – 44 trophies
21. Nyasa Big Bullets – 43 trophies
22. Dynamos, Etoile Filante – 42 trophies each
24. Mamelodi Sundowns – 41 trophies
25. APR FC – 40 trophies
26. Raja Casablanca, Club Africain – 39 trophies each
28. Al-Merrikh SC, TP Mazembe – 38 trophies each
30. Al Hilal Omdurman, Etoile du Sahel, Horoya AC, Petro de Luanda – 37 trophies each.

SOMA NA HII  KWA REKODI HIZI SIMBA WASHINDWE WENYEWE TU

5 COMMENTS