Habari za Simba leo
Azam FC

AZAM MATATANI KUPOTEZA SILAHA YAO HII…SINGIDA BS YAHUSISHWA…ISHU NZIMA IPO HIVI

Marce Ben Komba April 20, 2024 11:12 am

Klabu ya Singida Black Stars imefungua mazungumzo ya kumsajili mlinzi wa kulia wa Azam Nathaniel Chilambo.

Mkataba wake na Azam umebaki miezi mitatu tu.

Haitokuwa rahisi kwa Azam kubaki nae licha ya kwamba wapo
kwenye mpango wa kumuongezea mkataba mpya.

SHABIKI WA SIMBA AMEITWA  NA POLISI…MKASA MZIMA UPO HIVI A-Z RASMI FIFA YATANGAZA…KLABU IKISHIRIKI KOMBE LA DUNIA INAKULA BIL 137…TIMU HIZI ZATAJWA