Kwa mujibu wa African Facts Zone, Klabu ya Yanga ni klabu namba saba kwa kuwa na bajeti kubwa ya mwaka Barani Afrika wakitumia takribani dola milioni 8.1.
Nafasi ya kwanza inashikwa na Al Ahly wenye bajeti ya dola milioni 88.6 takribani mara 10 ya bajeti ya Yanga lakini Simba wao wapo nafasi ya 10 wakiwa na bajeti ya dola milioni 5.3 kwa mwaka.