Home Authors Posts by Abubakar

Abubakar

1085 POSTS 0 COMMENTS

AHMED ALLY ATANGAZA VITA…SIMBA IMEKAMILISHA USAJILI.

0
Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ally amewatoa hofu wapenzi na wanachama wa klabu hiyo kuwa michakato ya usajili inaendelea na...

AISHI MANULA ARUDI AZAM FC…SIMBA INAPITISHA FAGIO LA CHUMA

0
ALIYEKUWA kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula hatakuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo msimu ujao baada ya kurudi timu ya zamani ya...

KANOUTE AZIDI KUSHIKILIA MSIMAMO…SIMBA KUFANYA KIKAO KIZITO

0
SADIO KANOUTE Ameendelea kushikilia msimamo wake wa kutaka kuondoka Simba ili akatafute changamoto mpya, ambapo bado ana mkataba wa mwaka mmoja na waajiri wake...

MRITHI WA INONGA HUYU HAPA…ATUA DAR USIKU KUMALIZANA NA SIMBA

0
MENEJIMENTI ya Mrithi wa Henock Inonga imetua Dar kumalizana na Simba muda wowote kuanzia sasa, wakati huo wachezaji wa Simba wakitarajiwa kuanza kuingia kambini...

HABARI ZA USAJILI…SIMBA YATUA KWA MSHAMBULIAJI WA STELLA ADJAME…YANGA NA OKRAH

0
MABOSI wa Simba wako katika mazungumzo ya kuipata saini ya kiungo mshambuliaji raia wa Ivory Coast, Jean Charles Ohoua. Nyota huyo anayekipiga Stella Adjame...

MWAMNYETO MZAWA ANAYEVUTA MPUNGA MREFU YANGA…MIL 300

0
NAHODHA na beki wa kati wa Yanga, Bakari Mwamnyeto ameongeza mkataba mwingine wa miaka miwili wa kuendelea kubakia hapo na mkataba huo Umefanya kuwa...

LOMALISA APEWA THANK YOU YANGA…AMFUATA ZAHERA

0
BAADA ya kuitumikia Yanga kwa misimu miwili kwa mafanikio sasa anatajwa kumalizana na Namungo FC kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye kikosi hicho ambacho...

DAU WALILOTUMIA SIMBA KUMNASA STEVE MUKWALA.

0
Klabu ya Simba imetumia zaidi ya Sh300 milioni kupata saini ya straika Mganda, Steven Dese Mukwala (24) ambaye alikuwa akiwaniwa na klabu mbalimbali ikiwemo...

SIMBA KUSHUSHA CHUMA…ANATOKA CONGO…NI MWAMBA HASWA

0
Klabu ya Simba inatajwa kukamilisha usajili wa kiungo kutoka Jamhuri ya Congo Debora Mavambo Fernandes (mwenye jezi nyeupe pichani juu) aliyekuwa aakiitumikia Mutondo Stars...

ORLANDO PIRATES WAPIGWA KO NA SIMBA…MCHEZAJI WAMEPITA NAE

0
Klabu ya Orlando Pirates ya Afrika Kusini inadaiwa kumshawishi kiungo Augustine Okejepha ajiunge nao akitokea klabu ya Rivers United ya Nigeria. Hata hivyo Pirates wameambulia...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS