Home Authors Posts by admin

admin

23935 POSTS 9 COMMENTS

MO AANZA KUFURU SIMBA NI NDANI YA CHAMPIONI JUMATATU

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumatatu lipo mtaani jipatie nakala yako nafasi ya kushinda ndinga mpya ni yako

HIKI NDICHO WANACHOKIKOSA WANA SIMBA KWA SASA

0
UONGOZI wa Simba umesema kuwa kikubwa ambacho wanakikosi kwa sasa ni zile furaha za mashabiki pamoja na uhondo wa mechi za Ligi Kuu Bara...

HUYU NAYE KICHWANI ZIMO, UWANJANI ANA BALAA ANATAJWA KUTUA YANGA

0
PAUL Nonga, nahodha wa Lipuli, kichwani ana Stashahada ya Ulipuaji Miamba ambayo aliamua kujiongeza baada ya kumaliza kidato cha sita na aliipata kwenye Shirika...

DODO YA ALIKIBA YAWEKA REKODI YA AJABU BONGO

0
MSANII wa Bongo Fleva, Alikiba, ameweka rekodi ya ngoma yake ya Dodo kukaa Youtube Trending kwa muda mrefu kuzidi ngoma yoyote iliyotoka mwaka huu.Hadi...

MSHAMBULIAJI HUYU AMEPIGA KITABU, UWANJANI ANATUPIA KAMA KAWAIDA

0
WAZIR Jr, mshambuliaji huyu anakipiga Mbao FC. Kichwani ana Degree ya IT ana tuzo pia ya mchezaji bora wa Mwezi Novemba ambapo aliipata baada...

KAGAME AENDELEA KUMSHIKILIA KAGERE..!!

0
SERIKALI ya Rwanda, imeongeza muda kwa wananchi wake kukaa ndani na mipaka kufungwa hadi Aprili 30, mwaka huu kutokana na janga la virusi vya...

KOCHA SIMBA AANZA NA STRAIKA HUYU

0
MSEMAJI mwenye kauli ya mwisho kwenye Benchi la Ufundi la Simba, Sven Vandenbroeck ameweka wazi kwamba usajili wa kwanza ambao ataufanya kwenye kikosi chake...

MTAMBO WA MABAO KUTUA YANGA..MAMBO YOTE YAPO HIVI..!!!

0
RELIANTS Lusajo, mtambo wa mabao ndani ya Yanga iwapo dili lake la kutua ndani ya kikosi cha Yanga litajibu, basi atashuka na nyota pacha...

YANGA YA GSM YAZIDI KUNOGA…KUINGIA MKATABA NA KLABU KIGOGO YA HISPANIA

0
KAMPUNI ya GSM ipo katika hatua za mwisho za kuingia makubaliano na moja ya klabu za Hispania iliyopo kwenye viwango vya nne bora katika...

SAKATA LA CHAMA KUTUA JANGWANI..MWAKALEBELA ATAKIWA KUJIUZULU YANGA

0
MCHEKESHAJI mkongwe Bongo, Steven Mangele (Steve Nyerere), amemtaka Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Frederick Mwakalebela kuachia ngazi katika nafasi hiyo ili kulinda heshima...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS