admin
KUHUSIANA NA TAIRONE, FRAGA, SIMBA WASISUBIRI HADI SIKUKUU
Na Saleh AllySIMBA ilianza kuachana na mshambuliaji Wilker Henrique da Silva raia wa Brazil baada ya kukumbwa na majeraha akiwa kambini nchini Afrika Kusini.Wakati...
HASSAN KESSY KAMA KICHUYA TU MSIMBAZI..!!
NYOTA wa Nkana FC ya Zambia, Hassan Kessy ni miongoni mwa wachezaji watakaokipiga katika kikosi cha Yanga msimu wa 2020/21, huku ikielezwa anafuata nyayo...
MTUPIAJI NAMBA MOJA NDANI YA YANGA APEWA MKONO WA KWA HERI
IMEELEZWA kuwa mshambuliaji namba moja ndani ya Klabu ya Yanga anatimka jumla msimu ujao baada ya kushindwa kuelewana na mabosi zake ambao ni Yanga.Molinga...
RUVU SHOOTING YAPANIA KUIPAPASA NDANDA LEO MABATINI
MASAU Bwire, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting amesema kuwa waliokuwa wanawabeza baada ya kupokea kichapo cha mabao 2-1 mbele ya KMC wasitarajie watafungwa leo...
COASTAL UNION YAANZA KUZOEA MAZINGIRA YA MWANZA, LEO KUKIWASHA
COASTAL Union iliyo chini ya Kocha Mkuu, Juma Mgunda imeshaanza kuyazoea mazingira ya Mwanza baada ya kutia timu rasmi tangu jana.Leo, Juni 23 itashuka...
MINZIRO: TUPO KWENYE NAFASI MBAYA, NIMEWANOA WACHEZAJI KUIMALIZA COASTAL UNION
KOCHA Mkuu wa Mbao FC, Felix Minziro amesema kuwa amewanoa wachezaji wake vizuri kuelekea kwenye mchezo wao utakaocheza dhidi ya Coastal Union Uwanja wa...
BODI YA LIGI YATHIBITISHA KUPOKEA BARUA YA AZAM FC, INAYOZUNGUMZIA MABAO...
MWENYEKITI wa Bodi ya Ligi Tanzania, Almas Kasongo amesema kuwa wamepokea barua ya malalamiko ya Klabu ya Azam FC iliyopelekwa kwenye dawati lao.Juni, 21...
MANCHESTER CITY WATEMBEZA MKONO KWA BURNEY
PHIL Forden, nyota wa Manchester City alifungua pazia la ushindi wa mabao 5-0 mbele ya kikosi cha Burnley kwenye mchezo wa Ligi Kuu England...
AZAM FC YAKWEA PIPA KUWAFUATA KAGERA SUGAR
KIKOSI cha Azam FC leo kimwekwea pipa kuelekea Bukoba kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar utakaochezwa kesho Uwanja...
HILI HAPA JESHI LA SIMBA LILILOTIA TIMU MBEYA,KESHO KULIWASHA DUDE
HII hapa orodha ya wachezaji wa Simba ambao wapo Mbeya kwa ajili ya maandalizi ya mechi mbili za Ligi Kuu Bara.Kesho, Juni 24 wataanza...