MOLINGA NA EYMAEL WAFIKA KANDA YA ZIWA
KOCHA Mkuu wa Yanga na mshambuliaji namba moja wa Yanga kwa sasa wametia timu Mwanza ikiwa ni safari yao ya kuelekea Shinyanga. Safari yao imeanza…
KOCHA Mkuu wa Yanga na mshambuliaji namba moja wa Yanga kwa sasa wametia timu Mwanza ikiwa ni safari yao ya kuelekea Shinyanga. Safari yao imeanza…
BERNARD Morrison, anaongeza orodha ya wachezaji wa Yanga watakaoukosa mchezo wa kesho dhidi ya Mwadui FC.Wengine ambao wataukosa mchezo huo ni pamoja na Papy Tshishimbi…
HAJI Manara, Ofisa Habari wa Simba amesema kuwa Yanga wanamkosea David Moliga kwa kumzungushazungusha licha ya kwamba ni mchezaji mzuri ndani ya timu hiyo.Juni 10,…
KLABU ya Azam kwa kushirikiana na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa pamoja wataadhimisha siku ya utoaji damu duniani, Juni 14 mwaka huu.Azam FC siku…
JONAS Mkude, kiungo mkabaji wa Simba atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa wiki mbili baada ya kupata majeruhi kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya…
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Klabu ya Namungo amesema kuwa mchezo wao wa kesho dhidi ya Coastal Union utakuwa mgumu ila watapambana kupaa matokeo.Namungo itashuka…
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango, Juni 12, 2020 katika kufungia hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka 2020-2021 alikumbusha bao la…
BEKI wa kazi wa Simba, Muivory Coast, Pascal Wawa, amebainisha kwamba licha ya ugumu ambao watakutana nao kwenye mechi dhidi ya Azam FC, hakuna ambacho…
ERLING Haaland, mshambuliaji mwenye miaka 19 anayekipiga ndani ya Klabu ya Borussia Dortmund inayoshiriki Bundesliga nchini Ujerumani anatajwa kuwa kwenye rada za Manchester United na…
BARAKA Majogoro ni kiungo mkabaji ndani ya Klabu ya Polisi Tanzania iliyo chini ya Kocha Mkuu Malale Hamsini.Jina lake linatajwa mitaa ya Kariakoo ambapo inaelezwa…