POCHETTINO ACHEKELEA NAFASI YAKE KUCHUKULIWA NA JOSE
MAURICIO Pochettino, aliyekuwa Kocha Mkuu wa Tottenham amesema kuwa Jose Mourinho ni kocha sahihi kubeba mikoba yake ndani ya timu hiyo kwa sasa. Pochettino alisimamishwa…
MAURICIO Pochettino, aliyekuwa Kocha Mkuu wa Tottenham amesema kuwa Jose Mourinho ni kocha sahihi kubeba mikoba yake ndani ya timu hiyo kwa sasa. Pochettino alisimamishwa…
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumamosi, lipo mtaani jipatie nakala yako nafasi ya kushinda ndinga mpya ni yako
SHUGHULI za michezo zinatarajiwa kurejea rasmi Juni Mosi ambapo mechi zilizobaki zitachezwa kwenye vituo viwili, Dar es Salaam na Mwanza.Mechi zile za Ligi Kuu Bara…
UONGOZI wa Mtibwa Sugar, umesema kuwa tamko la Rais John Magufuli wamelipokea kwa mikono miwili kwa sasa wanasubiri ratiba ili wamalize mechi zao za Ligi…
INAELEZWA kuwa uongozi wa Simba umepanga kesho saa saba kutambulisha mashine mpya ya kazi ambayo itakuwa inatumika ndani ya timu hiyo ambayo ipo kwenye mkakati…
MWENDELEZO wa Ligi Kuu Tanzania Bara utaanza kwa Yanga na timu nyingine zitacheza mechi za viporoLigi itachezwa kwa muda wa mwezi mmoja na kwa siku…
PARIS Saint-Germain (PSG) inaripotiwa kuwa imeanza hesabu za kuwania saini ya mshambuliaji wa Arsenal, Pierre Emerick Aubameyang.Aubameyang amekuwa kwenye ubora wake baada ya kujiunga na…
Na Saleh Ally UPANDE wa mashabiki wa soka hasa wa hapa nyumbani Tanzania, moja ya vipindi ambavyo huvifurahia ni vile vya usajili wa wachezaji wapya.…
Kiungo Alex Song amekiri kuwa kikubwa ambacho kilimpeleka Barcelona akitokea Arsenal ni kwa kuwa aliahidiwa mshahara mkubwa na akaona ni nafasi kubwa ya yeye kuwa…
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umeweka wazi kuwa timu yao itaanza mazoezi Juni mosi baada ya Serikali kuruhusu shughuli za Michezo kuanza.Rais wa Jamhuri ya…