Latest Posts

MBAYA WA METACHA MNATA AKUBALI KUSAINI YANGA

BIGIRIMANA Blaise, mshambuliaji namba mbili ndani ya Namungo FC amesema kuwa anaweza kusaini Yanga iwapo utaratibu wa usajili utafuatwa. Imekuwa ikielezwa kuwa miongoni mwa wachezaji…

BREAKING: LIGI KUREJEA JUNI MOSI

JOHN Pombe Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kuwa masuala ya michezo ikiwa ni pamoja na Ligi Kuu Tanzania Bara ni ruksa…

BIASHARA UNITED: LIGI IKIREJEA TUPO TAYARI

ATUPELE Green, mshambuliaji wa Bashara United amesema kuwa yupo tayari kwa ajili ya kuona ligi ikirejea kutokana na maandalizi ambayo anayafanya.Ligi Kuu Tanzania Bara ilisimamishwa…

HAYA HAPA MABAO YA BERNARD MORRISON WA YANGA

BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Yanga, alisajiliwa na Yanga kwenye usajili wa dirisha dogo mwezi Desemba mwaka jana, lakini hadi sasa ameshaifungia timu hiyo mabao…

ULIMWENGU: NITACHEZA NDANI YA YANGA

ULIMWENGU Jules, nyota anayekipiga ndani ya Klabu ya Rayon Sports ya Rwanda anatajwa kuingia kwenye rada za Yanga.Habari zinaeleza kuwa mpango mkubwa wa mabosi hao…

MESSI:CORONA IMETIBUA SHANGWE YA KUTWAA UBINGWA

RAMADHAN Singano, ‘Messi’ nyota anayekipiga ndani ya Klabu ya TP Mazembe amesema  kuwa janga la Corona limetibua shangwe za ubingwa ambao wameutwaa hivi karibuni.Mazembe ilitangazwa…