Latest Posts

MWILI JUMBA WA YANGA ATAJA KINACHOMFELISHA

MSHAMBULIAJI wa Yanga mwili jumba, Yikpe Gnamien amesema kuwa kilichompoza ashindwe kuonesha makeke yake hivi karibuni ni kukalishwa benchi kwa muda mrefu.Ingizo hilo jipya ambalo…

MABOSI WA TIMU ZA ENGLAND HOFU TUPU

HOFU imeanza kutanda kwa mabosi wa timu mbalimbali zinazoshiriki Ligi Kuu England baada ya jana Serikali ya Ufarasa kufuta shughuli zote za mikusanyiko ikiwa ni…

KAKOLANYA ACHEKELEA MAISHA NDANI YA SIMBA

BENO Kakolanya, mlinda mlango namba mbili wa Simba amesema kuwa anafurahia maisha anayoishi ndani ya kikosi hicho cha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara.Ligi…