BOGA AYAKUMBUKA MAISHA YA CHELSEA
KIUNGO Jeremie Boga nyota wa Klabu ya Sassuolo amefunguka kwa sasa klabu yake bora ni hapo aliposasa, ila hawezi kuisahau klabu ya Chelsea siku zote.…
KIUNGO Jeremie Boga nyota wa Klabu ya Sassuolo amefunguka kwa sasa klabu yake bora ni hapo aliposasa, ila hawezi kuisahau klabu ya Chelsea siku zote.…
YIDAH Sven, kiungo anayekipiga ndani ya Klabu ya Kariobang Sharks ya Kenya amesema kuwa anavutiwa na uwezo wa kiungo Papy Tshishimbi na Fei Toto ambao…
KIUNGO wa Simba Luis Miqussone amelitaja bao lake bora tangu ajiunge na Simba kwenye usajili wa dirisha dogo msimu huu Januari, akitokea Klabu ya UD…
ALIYEKUWA kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera amemwambia, straika nguli wa Simba, John Bocco, 30, bado anaweza kutisha katika soka la Afrika nje ya Tanzania licha…
Jacob Masawe nahodha wa Gwambina FC amekuwa wenye ubora wake kwa kucheka na nyavu.Msimu huu kabla ya Ligi Daraja la Kwanza kusimamishwa alikuwa ametupia jumla…
KOCHA Mkuu wa Tanzania Prisons, Adolf Rishard amesema kuwa ili mchezaji adumu kwenye ubora wake ni lazima awe na nidhamu ndani ya uwanja na nje…
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba ameweka wazi kuwa anahitaji viungo wakali wenye uwezo mithili ya Miqussone ambao anaamini watampa matokeo ndani ya uwanja. Miqussone…
SIXTUS Sabilo mtupiaji wa klabu ya Polisi Tanzania amesema kuwa kutokana na mapumziko ya lazima kwa wachezaji wa Ligi Kuu Bara Bongo yamemfanya amekuwa karibu…
MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba ameamua kumjibu kibabe bosi wake mkubwa kwenye benchi la ufundi Sven Vandenbroeck wakati huu wa maambukizi ya Virusi vya Corona…
MSHAMBULIAJI tegemeo wa Klabu ya Arsenal, Pierre Emerick Aubameyang yupo kwenye hesabu za kuwindwa na Barcelona na Manchester United.Nyota huyo raia wa Gabon anayekipiga timu…