admin
MANCHESTER UNITED YAKUBALIANA NA MATIC KWA DILI LA MWAKA MMOJA
MABOSI wa Manchester United wamekubaliana na nyota wao Nemanja Matic ambaye ameongeza mkataba wake kuendelea kuitumikia klabu hiyo.Nyota huyo mkataba wake ulikuwa unameguka baada...
MASHINDANO YA DIPLOMATIC GOLF MSIMU WA PILI KUANZA MEI 30
MASHINDANO ya Diplomatic Golf msimu wa pili yanayoratibiwa na Kampuni ya Tanzania Mwandi kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje ya Nchi na...
UEFA YASIMAMISHWA MPAKA 2021
UEFA imesitisha michuano hiyo ndani ya mwaka huu 2020 mpaka 2021 kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Corona.Kutokana na kuenea kwa Virusi vya Corona...
BREAKING: LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA YASIMAMISHWA KWA MUDA
LIGI Kuu Tanzania Bara, Ligi Daraja la Kwanza, Ligi ya Wanawake na masuala yote ya michezo yanayohusisha mjumuiko ya watu imesitishwa kuanzia leo na...
HIVI HAPA VIGINGI 11 VYA YANGA MSIMU HUU WA 2019/20
IKIWA imecheza mechi 27 na kujiwekea kibindoni jumla ya pointi 51, Yanga imebakiza vigingi 11 ili kukamilisha mzunguko wa pili baada ya siku 30...
TAMKO LA SERIKALI KUHUSU KUSIMAMISHWA KWA LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA...
KASSIM Majaliwa, Waziri Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kuwa wanasitisha masuala yote yanayohusu mikusanyiko ya watu isiyo ya lazima...
ISHU YA LIGI KUSIMAMISHWA SIMBA WAIGUSIA, WAICHOKONOA KIANIA KLABU NYINGINE
HAJI Manara amesema kuwa masha ya Watanzania ni muhimu kuliko mpira lakini ana imani kwamba utaratibu upo wazi.Serikali imesimamisha masuala yote ya michezo kwa...
TFF KUFANYA KIKAO CHA DHARURA KESHO KUJADILI MUSTAKABALI WA LIGI KUU...
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia ameelekeza Kamati ya Uongozi ya Bodi ya Ligi Kuu kuitisha kikao cha dharura kesho Machi...
MAISHA BANA! GHAFLA KLOPP KAGEUKA MTU WA HOFU TUPU, KADONDOSHA KARIBU...
Na Saleh AllySIKU za furaha na majigambo zimeporomoka haraka sana katika kikosi cha Liverpool, kikosi ambacho kilionekana hakina mfano kwa misimu miwili mfululizo.Liverpool walikuwa...
NYOTA WA CHELSEA AMUOMBA MSAMAHA KOCHA LAMPARD
MASON Mount nyota wa timu ya Chelsea amemuomba msamaha Kocha Mkuu wa timu hiyo Frank Lampard kwa kosa lake la kuonekana akicheza mpira akiwa...