admin
YANGA YATOA TAMKO KUHUSU KURUDI KWA MTUPIAJI MAKAMBO
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa mashabiki wanapaswa kuwa na subira kwa wakati huu kuhusu kumrudisha nyota wao wa zamani Heritier Makambo ndani ya Yanga.Makambo...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Jumatatu
KOCHA LIGI KUU AWAPA WACHEZAJI MAZOEZI YA KUCHEZA NA WAKE ZAO
JACKSON Mayanja aliyekuwa Kocha Mkuu wa KMC inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara amesema kuwa amewapa wachezaji wake mazoezi ya kucheza na wake zao wakiwa...
TIMU TATU KUBWA ZAINGIA VITANI KUIWINDA SAINI YA MARIO GOTZE WA...
MARIO Gotze, kiungo anayekipiga ndani ya Borussia Dortmund saini yake imegeuka lulu kwa kuwaniwa na klabu kubwa ambazo zinahitaji huduma yake ikiwa ni pamoja...
MTIBWA SUGAR: MASHABIKI, WACHEZAJI WACHUKUE TAHADHARI YA CORONA
THOBIAS Kifaru, Ofisa Habari wa Mtibwa Sugar amesema kuwa watanzania na mashabiki wanapaswa wachukue tahadhari ya Virusi vya Corona kwani ni janga la dunia...
AZAM FC: BADO HATUJAJUA HATMA YA LIGI ITAKUAJE
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa bado haujajua hatma ya Ligi Kuu Bara kwa sasa kutokana na maambukizi ya Virusi vya Corona.Azam ipo nafasi...
KAHEZA: BADO NAJIFUA NA KUCHUKUA TAHADHARI PIA
MARCEL Kaheza, mshambuliaji wa Polisi Tanzania amesema kuwa kwa sasa anaendelea na program maalumu ili kulinda kipaji chake kuwa bora.Kaheza akiwa ndani ya Polisi...
KOCHA LIGI KUU AWAPA MAJUKUMU YA KUWA MABALOZI WACHEZAJI WAKE
JACKSON Mayanja aliyekuwa Kocha Mkuu wa KMC inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara amesema kuwa kuna umuhimu wa wachezaji kuchukua tahadhari wakiwa nyumbani kipindi hiki...
WACHEZAJI YANGA WAPIGWA STOP KULA CHIPSI
JUMA Abdul, nahodha msaidizi wa Yanga amesema kuwa wachezaji wameshauriwa kuacha kula vyakula vyenye mafuta mengi ili kuepuka kuongezeka uzito ghafla.Kwa sasa Ligi Kuu...
KOCHA SIMBA: WACHEZAJI WASIOFANYA MAZOEZI WANAZIFELISHA TIMU
SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa kwa kipindi hiki kigumu cha maambukizi ya Virusi vya Corona wachezaji ambao hawatafuata program walizopewa watarudisha...